+255 625 904 239
+255 765 536 480

  Starcom Media Lab

  Services inquiry line 

Kuna matatizo mengi ya simu za androids ikifikia wakati unataka kuflash si lazima uwaze sana  na kufikiria utafanyaje na pesa wakati huo huna chochote lakini umejaliwa kuwa na pc nzuri,usb ya hiyo simu na una access ya internet.Tulia hiyo hapo juu ni video ya step by  step fuatana nayo.
Unawaza nini? pc yako imekufa? ikagua mwenyewe kwa matatizo ya hapa na pale epukana na mafundi wapigaji rekebisha mwenyewe kwanza kabla hujaenda kwa mtaalamu.Fuatilia video hiyo hapo juu
Yawezekana baada ya kubadili rom ya simu yako hususan zile za mtk androids ikapoteza  imei no na baseband usijali suluhisho la tatizo lako lipo leo nimekusogezea video hi jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo likaisha ungana nami katika somo hili natumaini utatatua hili
Simu ni computa kama ulikuwa hujui unataka kutumia app za simu (androids) kwenye computer yako? Ungana nami katika video hiyo hapo juu hatua kwa nhatua jinsi ya kuweka app hizo kwa pc yako