Trick mbali mbali za simu
Wengi hukumbwa namatatizo katika simu zao ambayo kama yakiachwa basi huaribu mfumo mzima wa simu na kusababisha kukosa mawasiliano ambayo kw adunia ya leo tunayahitaji sana ili tuendelee,Mfano simu kuwa nzito,Kusahau msimbo wa usalama wako,(password,Patern).ili kuyamaliza matatizo haya hapa nakuletea trick mbalimbali za kupambana na matatizo haya